Posts

Showing posts from June, 2021

UKIONA MWANAUME ANAKUFANYIA MAMBO HAYA BASI JUA UNADANGWA!

Image
(1) Hataki kukupeleka kwake mechi zote mnachezea kwako; Kama una mwanaume anakuambia anakupenda lakini hajawahi kukupeleka kwake, au unapajua kwake lakini hataki muende, ni karibu tu ila anataka kufanyia mapenzi kwako na mara nyingi akija anakula kabisa na kuondoka, anaweza alete matunda au asilete kitu lakini anakula na hata hajiongezi, hataki mchezee kwake kwani inamaanisha ukienda kwake chakula atanunua yeye na si wewe, huyu Dada ni mdangaji jua kuwa unadangwa. (2) Ghafla anafukuzwa au kusimamishwa kazi/biashara haziendi vizuri; Mpaka wakati mwingine unajiona una gundu, umekutana naye hata mwezi haujaisha kasimamshwa kazi, kuna matatizo kazini au biashara imesimama, hujawahi muona kazini wala kuiona hiyo biashara lakini ana maneno maneno mengi kisha anakuomba pesa ya kutumia au akaongezee mtaji, dada yangu mwanaume unayekutana naye ghafla anapata matatizo huyo ni mdangaji unadangwa! Alikua hajawahi kukupeleka kazini, hujaiona Biashara yake lakini ghafla kila kitu kinabadilika. (3) A...

TOFAUTI KATI YA WANAUME NA WANAWAKE AMBAYO WANAWAKE WENGI HAWAIJUI!

Image
Unapomkosea mwanamke ukawa unamuomba msamaha, anakuambia sitaki, sikutaki, ondoka, akakublock na kutotaka kabisa umtafute basi jua kuwa anahitaji umtafute. Kakublock lakini anataka utafute namba nyingine ili ujaribu kuongea naye, anahitaji utafute rafiki zake, ufanye kila namna ili kumuomba msamaha. Kama ukikaa kimya kwakua kakublock basi mwanamke huumia na ndiyo unaharibu kabisa. Lakini sasa kama umemkosea mwanaume, akakuambia anahitaji muda, akakuambia usimtafute, akakublock, akawa hataki kujibu meseji zako na hataki chochote kuhusu wewe. Ukilogwa ukazidi kumtafuta, ukatafuta na namba nyingine, ukatafuta marafiki zake na kuwaambia matatizo yenu, ukatafuta na ndugu zake ili waongee naye. Ukatuma meseji milioni kuomba msamaha basi jua kuwa ndiyo unaharibu, ndiyo unamuonyesha kuwa huna thamani na huyo mwanaume atakuacha kabisa. Unapomkosea mwanaume fanya juhudi za kumuomba msamaha, mtafute yeye kama yeye, akikuambia umpe muda basi mpe muda kweli. Acha kuhangaika kwa ndugu zake, marafiki...